Proverbs 3:1-2

Faida Nyingine Za Hekima

1 aMwanangu, usisahau mafundisho yangu,
bali zitunze amri zangu moyoni mwako,
2 bkwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako
na kukuletea mafanikio.
Copyright information for SwhNEN